2 Peter 2:4

4 aKwa maana, kama Mungu hakuwasamehe malaika walipotenda dhambi, bali aliwatupa kuzimu
Kuzimu hapa linalotokana na neno Tartarus la Kiyunani; maana yake ni kule ndani sana katika mahali pa mateso kwa watu waliopotea.
katika vifungo vya giza wakae humo mpaka ije hukumu;
Copyright information for SwhNEN